2025-01-02 08:06
Mlianza kwa Aziz ki ikabuma, pacome ikabuma, sasa zengeli kwan hatujui kuwa kwanza alikuja kwenu mkasema hana haiba na mvuto kuchezea Simba!!! sasa imekuaje!!!???? Shida yenu madharau mengi toka kwa aucho, pacome, zengeli mwenyewe huwa mnatoa majibu ya istizai na fedheha