2025-01-09 07:21
Baada ya Yanga SC kufikia makubaliano na Coastal Union kumsajili Lameck lawi, Simba SC imefungua shauri la pingamizi la usajili huo kwenye kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji TFF ikiitaka Coastal Union ilipe fedha zote wanazowadai kwenye usajili wa awali wa Lawi Kumbaka awali Simba walionesha nia ya kumsajili mchezaji huyo ambapo Simba walimtambulisha lakini mchezaji akaenda kufanya majaribio ulaya aliporejea nchini hakujiunga na timu ya Simba,huku Coastal union wakikanusha taarifa hiyo.
67
回覆
11
轉發

作者

SOZY MEDIA
sozy_media
profile
粉絲
5,792
串文
337+

回覆

轉發

24小時粉絲增長

無資料

互動率

(讚 + 回覆 + 轉發) / 粉絲數
1.35%

© 2025 Threadser.net. 版權所有。

Threadser.net 與 Meta Platforms, Inc. 無關,未經其認可、贊助或特別批准。

Threadser.net 也不與 Meta 的"Threads" 產品存在任何關聯。