2025-01-13 18:41
Twende Kazi! 💪🏽 #2025, natafuta wajasiriamali wa kuwawezesha nchini #Tanzania. Ni sehemu gani katika biashara yako ungependa kuwa na rasilimali zaidi au msaada ili iweze kukua? Je, biashara yako iko tayari kufaidika na msaada na uwekezaji ili kukua? Taja mafanikio uliyopata hadi sasa na hatua zilizochukuliwa kufikia malengo yako. #OneMinutewithMo
276
回覆
101
轉發
2

作者

Mohammed Dewji
moodewji
profile
粉絲
224,298
串文
227+

回覆

轉發

24小時粉絲增長

無資料

互動率

(讚 + 回覆 + 轉發) / 粉絲數
0.17%

回覆 (BETA)

最先回覆的內容
發文後用戶內容
2 小時內
profile
Hassan Makono
hamakono
Nimekuwa na Biashara ya Usambazaji Vinjwaji ikiwepo Mo-energy na Mafanikio ni kutengeneza Mtandao wa Wateja kwa kuwapitishia Bidhaa Madukani kwao badala ya kusubiri waje kununua kwa Jumla lakini Nimekuwa nikitamani kusambaza Sukari na kufanya Uwekezaji ktk Kilimo cha Miwa i ,Kufanya Usambazaji wa Mafuta na kushiriki katika Kilimo cha Alzeti na Usambazaji wa Ngano bila kushiriki Kilimo chake. Na kwa nia ya kuwa na Multiple Income Ufugaji wa Kisasa ni Njozi yangu.
10 小時內
Gasto Mushi🇹🇿
kuwesejr.mushi
Spare Party niweze Ku'-supply pale JV , Maltimodel, 21ṣṭ Century , East Coast. Nimewahi kusaplaÿi lakini mtaji mdogo
14 小時內
profile
Paul Maker
donp_tz
@moodewji Hapa naona Asilimia kubwa ya Vijana mawazo yao ni kuomba pesa. Nadhani hawaelewi Biashara kuwa sio pesa pekee. Binafsi, Biashara yangu ya Huduma ndogo za kifedha (Microfinance) Nimenufaika nayo kwanza kujua Masoko yalipo? Pili, kujua Maeneo au kundi yenye huhitaji mkubwa wa mkopo midogo midogo. Tatu. Kujua namna utoaji mikopo, Nne. kuchangia pato la Nchi, kwa kulipa kodi ya Mapat( TRA.) Na Leseni NB: Mtaji unahitajika ili kuongeza rasilimali watu na kufikia watu wengi zaidi Nchini.
14 小時內
profile
Paul Maker
donp_tz
@moodewji Hapa naona Asilimia kubwa ya Vijana mawazo yao ni kuomba pesa. Nadhani hawaelewi Biashara kuwa sio pesa pekee. Binafsi, Biashara yangu ya Huduma ndogo za kifedha (Microfinance) Nimenufaika nayo kwanza kujua Masoko yalipo? Pili, kujua Maeneo au kundi yenye huhitaji mkubwa wa mkopo midogo midogo. Tatu. Kujua namna utoaji mikopo, Nne. kuchangia pato la Nchi, kwa kulipa kodi ya Mapat( TRA.) Na Leseni NB: Mtaji unahitajika ili kuongeza rasilimali watu na kufikia watu wengi zaidi Nchini.
一天內
profile
azzysuperstar
Biashara yangu ni uwekezaji mtandaoni,nahitaji kuongeza mtaji ili niweze kupata pesa itakayonisaidia kuwapatia elimu na maisha bora watoto wangu waliotelekezwa na baba zao. Nahitaji pesa ili niwekeze zaidi,namba zangu za simu ni 0756524800 🙏🏾
2 天內
profile
Emmanuel Tembo
emmytembo77
Nimekuwa supplier wako wa furnace oil kiwanda Cha 21 century miaka 3 ya nyuma ila kwa Sasa nimeporwa oda naomba unipe oda tena

© 2025 Threadser.net. 版權所有。

Threadser.net 與 Meta Platforms, Inc. 無關,未經其認可、贊助或特別批准。

Threadser.net 也不與 Meta 的"Threads" 產品存在任何關聯。