2025-01-22 08:38
🚨 “Kuna wakati unaona ni kama ndoto kukosa kucheza robo fainali, kuna wakati unapata matokeo ambayo yanashtua, hii imewaumiza sana mashabiki wetu na hata sisi wachezaji,”
“Haitakuwa nzuri kama tutawaumiza na kukosa makombe ya ndani ambayo tunayashikilia, tutafanya kila linalowezekana kuhakikisha tunatetea makombe yetu yote.” -Amesema Pacome Zouzou
✍️👨🏾💻 sadruofficial15
#sozymedia
#sozymediaupdates